Kiungo wa Manchester United na timu ya taifa la Ufaransa Paul Pogba, alifanyiwa vipimo vya kubaini iwapo anatumia dawa za kuongeza nguvu zinazokatazwa michezoni baada ya mechi ya United dhidi ya Juve. .
.
Katika mchezo huo United iliibuka na ushindi wa 2-1.
.
Kutokana na kufanyiwa vipimo hivyo Pogba aliikosa ndege ya timu iliyokuwa inarejea Uingereza.
.
#🅱️zone

Share This
About Bwherever
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
Newer Article
Auuwa kisa Wivu..
Older Article
Unai Emery akubali akatae lazima achafue mikono yake kwenye wakati huu mpya wa Arsenal..!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment