Sio ndumba wala Uchawi ni juhudi, bidii na sala pia...mbona unatoboa, Ally Ng'anzin ndani ya MLS - BZONE

Sio ndumba wala Uchawi ni juhudi, bidii na sala pia...mbona unatoboa, Ally Ng'anzin ndani ya MLS

Share This
Nyota za wabongo zaanza kuwaka na kung'aza sasa na sasa ni zamu ya kijana wa Kitanzania Ally Ng'anzi ambaye ni moja ya zao la Timu ya vijana Serengeti Boys ambao walishiriki michuano ya AFCON U-17 nchini Gabon, na sasa zao hili limepata timu mpya baada ya alipokuwa amejiunga na klabu ya MFK Vyskov ya Czech akitokea singida United ya Tanzania na ametolewa kwa mkopo na MFK Vyskov kwenda kukipiga kwenye klabu ya Minnesota United ya nchini Marekani ambayo ipo ligi kuu ya nchini humo yani (MLS)...Hongera sana #AllyNg'anzi hii ni fursa kubwa ya kuonesha uwezo wako.

No comments:

Post a Comment

Pages