Remy akitoa neno la shukrani kwa watu wake wa karibu ambao ni mumewe Papoose na rafiki wake mkubwa Fat Joe na wengine hakuacha kumtupia kijembe Nick. Wakali wengine waliokuwa katika kipengele hicho alichoshinda Remy mbali na Nicki ni pamoja na Cardi B, Young M.A, Missy Elliott.
Hata hivyo Remy tangu kutoka kwake jela hii ni tuzo yake kubwa katika ukali wake wa kufanya muziki na kuonekana kumyumbisha Nicki Minaj tangu alivyorudi rasmi kwenye game la muziki wa Marekani na kua dalili za kuendelea kufanya vizuri.
No comments:
Post a Comment