DJ KHALED KUWAVUTA EMINEM NA ADELE KWENYE ALBUM MPYA - BZONE

DJ KHALED KUWAVUTA EMINEM NA ADELE KWENYE ALBUM MPYA

Share This

ENTERTAIMENT: Dj Khaled hategemei kusimama licha ya album yake ya mwaka huu Grateful kupata mafanikio makubwa. Kwenye mahojiano na Rap-Up, mkali huyo amesema kwa sasa anakomaa kuwapata Eminem na Adele kwenye miradi yake ijayo. Amesema kwa muda amekuwa akisotea collabo hiyo na kwamba yupo karibu na Eminem. Ameongeza kuwa kama akiweza kuwapata Adele na Eminem kwenye wimbo mmoja itakuwa balaa tupu.


No comments:

Post a Comment

Pages