Nyota huyo wa Golden State Warriors amekua na msimu mzuri na timu yake akiisaidia kushindwa ubingwa Fainali za Ligi kuu ya kikapu nchini Marekani dhidi ya Cavs mapema mwezi Juni mwaka huu. ikiwa ni tuzo yake mara tatu mfululizo 2015, 2016 na 2017
Mcheza Tenisi Serena Williams ameshinda tuzo ya Mwanamichezo bora wa mwaka kwa upande wa Wanawake akiwapiku wapinzani wake Gabby Douglas, Simone Biles, Skylar Diggins pamoja na dada yake Venus Williams.
No comments:
Post a Comment