YOUNGKILLER AANDIKA NGOMA NZIMA KUMCHANA NAY WA MITEGO - BZONE

YOUNGKILLER AANDIKA NGOMA NZIMA KUMCHANA NAY WA MITEGO

Share This


Young KillerENTERTAIMENT: Msanii wa muziki wa rap kutoka Tanzania ‘Youngkiller Msodoki’ amejibu mashambulizi ya diss kutoka kwa rapa Nay wa Mitego baada ya kuchanwa kuwa amepotea na kutabiriwa kuwa siku si nyingi atarudi nyumbani Mwanza.

Youngkiller katika Ngoma ‘Moto’ ya Nay, ubeti wa kwanza alichanwa kwa ufupi kuwa ‘Youngkiller Chali, safari ya Mwanza ainanukia…’ mstari ambao bila shaka ulimfikia Youngkiller hata ukamsukuma kujibu. Killer amedondosha jibu kwa ngoma ya diss nakuipa jina la ‘True Boya’ yenye ubeti mmoja bila kiitikio ambapo katika wimbo huo bado ameongeza kibwagizo cha maigizo ya sauti.

No comments:

Post a Comment

Pages