Liverpool bado wapo mbioni kumfukuzia Kipa wa Brazil Alison Becker kwa Pauni 62M na kumpa wakati mgumu Loris Karius. - BZONE

Liverpool bado wapo mbioni kumfukuzia Kipa wa Brazil Alison Becker kwa Pauni 62M na kumpa wakati mgumu Loris Karius.

Share This
Liverpool wameweka rekodi ya Dunia  kwa kumnyatia kipa wa As Roma na Taifa la Brazil Alison Becker kwajili ya kutatua tatizo la mlinda mlango walilokuwa nalo kwasasa.

Image result for alisson becker

Jurgen Klopp ambae ni kocha wa Liver ametambua tatizo ilo na wanatakiwa kufanya chaguo la mlinda mlango makini ambae ataweza kumtumia msimu ujao na ametambua kuwa Becker ndio ataweza kuwa ufumbuzi wa tatizo ilo.

The move puts the Anfield future of Loris Karius, pictured on Monday, in serious doubt

Chelsea pia wanamnyatia kipa huyu wa Brazil lakini Liverpool wanajua kwamba mda umefikia kwa wao kuweza kumsogeza kipa huyo kwenye ardhi ya Anfield.

Karius (centre, in training on Tuesday) suffered a Champions League final nightmare

No comments:

Post a Comment

Pages