Kwa farsafa yake kwenye timu yake ambayo kacheza nje ya kipa lakini pale Granit Xhaka alipokea mpira kutoka kwa Petr Cech kulikuwa na wachezaji wengi wa Arsenal wakisimama na kuangalia.

Xhaka anatakiwa kupata mtu wa kumchezesha kwa Henrikh Mkhitaryan na Mesut Ozil wanatakiwa kuwapa wenzao maamuzi ili waweze kumlisha mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang.
Kiukweli bado kuna maeneo ambapo Emery anatakiwa ajione kama mikono yake inachafuke kwenye eneo la mazoezi au mazoezini.
No comments:
Post a Comment