Viongozi wa Manchester United wanataka wawe zaidi ya Manchester City, Je Jose ataweza? - BZONE

Viongozi wa Manchester United wanataka wawe zaidi ya Manchester City, Je Jose ataweza?

Share This
Jose Mourinho amekuwa akiambiwa kwamba akutokuwa namabadiliko yoyote makubwa sana kwenye kikosi chake baada ya kuduwazwa na dirisha la usajili.

Image result for jose mourinho

Kocha huyu wa United amekuwa akisikitishwa na Uongozi wa Manchester United kuelekea msimu mpya wa ligi baada ya kufanya usajili wa mapema wa  kiungo Fred ambao uligharimu pauni MIlioni 52,
Lakini licha ya usajili huo amekuwa akilazimishwa kukubaliana na mabadilko ya sera zilizokuwepo kwenye ardhi ya Old Trafford na wababe hao wa ManchesterImage result for pogba

Board ya usajili ya Manchester United inakuwa bado inaendeleza sera yake ya kukuza vijana wadogo kwenye klabu kwa kupewa nafasi kubwa na huku Ed woodward akiwekea kikazo kikubwa sana ya kuuzwa kwa Paul Pogba na Anthony Martial msimu huu.

No comments:

Post a Comment

Pages