Tokea atolewe kwenye kikosi cha Ujerumani kinachoshiriki Kombe la Dunia nimebaki najiuliza wanamtengenezea nini Sane kwenye kichwa chake..! - BZONE

Tokea atolewe kwenye kikosi cha Ujerumani kinachoshiriki Kombe la Dunia nimebaki najiuliza wanamtengenezea nini Sane kwenye kichwa chake..!

Share This
Leroy Sane aametolewa kwenye kikosi cha Ujerumani kinachoshiriki kombe la Dunia na huu ndio ukiwa mda wake muafka kabisa..

Image result for leroy sane

Mshambuliaji huyu wa Manchester City ameweza kurudi Uingereza kwenye kikosi chake baada ya Joachim Low kumuacha kwenye kikosi chake kinachoenda Urusi na tabia ya Sane sidhani kama ndio kikwazo kikubwa cha yeye kuachwa kwenye kikosi cha ujerumani.

Image result for leroy sane

Mshambuliaji huyu mwenye miaka 22 japo akucheza kwenye kiwango kinachotakiwa Siku ile ya Jumamosi dhidi ya Austria lakini bado ilikuwa ni shtuko kubwa sana kwa Wadau wake.

Image result for leroy sane

Hii imekuja kuwashtuko baada ya kuwa mchezaji tegemezi kwenye kikosi cha City alichoweza kukisaidia kubeba taji la Ligi na yeye binafsi kujibebea tuzo ya PFA yakuwa mchezaji bora chipukizi.

Image result for leroy sane

Sasa tunamuona anatumia mapumziko akiwa nje ya mashindano makubwa  huku bado akiwa anaendelea kujipanga kwajili ya kufungua mazungumzo na Manchester City juu ya mkataba wake mpya ambapo ilikuwa imepangwa baada ya Kombe la Dunia.

No comments:

Post a Comment

Pages