Kuna msemo Mmoja hivi wa Kingereza nimewahi kusikia ukisema kama hivi 'Pressure doesn't always make Diamonds' Siku zote maumivu yanaweza yakakufanya usifikie malengo na kutoweza kukujenga na kukurudisha ulivokuwa huko nyuma..!
Lakini kwa kile Kanye alichoweza kukitolea mawazo kimeumiza watu wengi, na kututhibitishia Album yake ya Nane YE ingeweza kutoka mapema ya wiki hizi za karibuni. Mashabiki wamekaa kwa hamu kumsubilia yule Kanye west wa zamani tuliokuwa tunamjua.
Kuna wakati wasikilizaji wanapata vivuli vya sauti ambapo Kanye alipokuwa na sauti ya kukufanya humsikilize ata dakika kadhaa mbeleni, Album ikiwa na ngoma mbili pendwa ambazo zishaweza kusikika kidogo kwenye masikio ya watu ikiwemo "No Mistakes" "Ghost Town" na nyingine kibao mbali na hiyo kwenye Album kunawasanii wazuri wakisubiliwa nao pia kusikika.
Mbali na hiyo kwa ile attention ya taarifa iliowafanya wengi kusubiria kwa hamu Ye imetengeneza picha ya watu kufikilia kutosikika kwa mda huu.
Home
Unlabelled
Kwanini Album ya KANYE WEST 'ye' imeshindwa kutoka kwenye mda ulio haidiwa..
Kwanini Album ya KANYE WEST 'ye' imeshindwa kutoka kwenye mda ulio haidiwa..
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment