Sisi wote tulijua kama atochukua mda.. amefukuzwa akiwa kocha wa Uhispania siku moja kabla ya kuanza kwa Kombe la Dunia baada ya kutangazwa kuwa kocha mpya wa Real Madrid..! - BZONE

Sisi wote tulijua kama atochukua mda.. amefukuzwa akiwa kocha wa Uhispania siku moja kabla ya kuanza kwa Kombe la Dunia baada ya kutangazwa kuwa kocha mpya wa Real Madrid..!

Share This
Julen Lopetegui amefukuzwa akiwa kocha wa Uhispania kwenye mashindano ya Kombe la Dunia baada ya kuwaacha chama cha soka cha Uhispania wakiumia kichwa.

Image result for Julen Lopetegui

Lopetegui amemwaga wino kwenye mkataba mpya ambao utakaomalizika 2020 wiki chache zikizo pita Mei 22, habari zilikuja kabla ya masaa 48 ya ufunguzi wa kombe la Dunia dhidi ya Ureno pamoja na Gwiji wa Uhispania Fernando Hierro ambae ametangazwa kuwa mrithi wa Lopetegui.



Lakini Julen ajapoteza kitu kwasababu amefaidika na uhamuzi wa Zidane akiwa na miaka 51 amekubali kusaini dili la miaka mitatu kwenye ardhi ya Bernabeu.

No comments:

Post a Comment

Pages