Gwiji wa Kijerumani ataka Ozil na Gundogan kutolewa kwenye kikosi cha Ujerumani Kombe la Dunia..! - BZONE

Gwiji wa Kijerumani ataka Ozil na Gundogan kutolewa kwenye kikosi cha Ujerumani Kombe la Dunia..!

Share This
Joachim Loew amewatahadharisha Mesut Ozil na Ikay Gundogan kutarajia usafuri usio rasmi siku ya Jumapili baada ya kikao chao na Raisi wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan.

Related image

Loew ameweza kusema "Kazi Yangu kwasasa ni kuwaleta wachezaji wote wawe kwenye kiwango cha juu kwahiyoo wamejianda vizuri"
"Lakini baadhi yao watasindikizwa na Filimbi kutoka kwa mashabiki siku ya Jumapili"



Ujerumani watafungua kampeni ya Kundi lao dhidi ya Mexico mwishoni mwa wiki lakini gwiji wa Kijerumani ambae alishawahi kuwa kiungo wa Ujerumani Steffen Effenberg amesisitiza kwa Pamoja Ozil na Gundogan wanatakiwa watolewe kwenye kikosi.

Image result for mesut ozil

Mchezaji huyu wa zamani wa Bayern Munich aliweza wa kusema "Pale unaoweka kila kitu kwenye thamani kama vile ilivokuwa DFB siku zote kunakuwa na mabadiliko kwa mahamuzi yaliokuwepo wanatakiwa wachezaji wawili watafutiwe usafiri."

Related image

Lakini Erdogan pia aliwageukia waandishi wa habari kwa kubuni vitu visivyo na ukweli kabisa 

No comments:

Post a Comment

Pages