Uhusiano wa kati ya kocha na kiungo huyu wa Ivory Cost siku zote haukuwa mtamu kivile kmaa tunavoona kwa wachezaji wengine, Pale Guardiola alipompa ofa ya kumtoa Sergio Bosquets kwenye kikosi B na kumpa kazi ya kuzuia kwenye eneo la kiungo na Toure akijikuta akiwa nje ya upendo wapo wengi wasinge laumu kuhusu kiungo Busquet, Andres Iniesta na Xavi walikuwa pendwa sana.
Bado alicheza michezo 77 chini ya Guardiola na akishinda kwa pamoja klabu bingwa Ulaya na Copa Del Rey na akicheza fainali akiwa beki wa kati nyuma sio kiungo, pia aliondoka kwenye klabu akiwa na mataji mawili ya Uhispania.
Pale alipopata nafasi ya kuingia Ligi ya Uingereza mwaka 2010 alinukuliwa akisema kwamba “kila nilipokuwa nikijaribu kumuuliza kitu chochote (Guardiola) majibu yake yalikuwa ya ajabu sana” alimkataaa mpaka pale ilipokuja ofa ya City
Lakini Toure aliendelea kwa kusema kama angekuwa anaongea na mimi ningeweza kubakia Barcelona ata nisingeweza kuhama mimi nilitaka kumalizia maisha yangu ya soka Barcelona.
Guardiola tumeona amefundisha majina matatu makubwa kutokea Afrika alipokuwa Barcelona akiwemo Mfaransa Eric Abidal, Etoo na Keita.
Ukimchukulia mchezaji kama Keita ambae alicheza michezo 188 kwa Barcelona chini ya Guardiola hapa ndio utajua kwamba kuna wachezaji wachache ambao walipewa mda kidogo na kocha huyu.
Bado alicheza michezo 77 chini ya Guardiola na akishinda kwa pamoja klabu bingwa Ulaya na Copa Del Rey na akicheza fainali akiwa beki wa kati nyuma sio kiungo, pia aliondoka kwenye klabu akiwa na mataji mawili ya Uhispania.
Pale alipopata nafasi ya kuingia Ligi ya Uingereza mwaka 2010 alinukuliwa akisema kwamba “kila nilipokuwa nikijaribu kumuuliza kitu chochote (Guardiola) majibu yake yalikuwa ya ajabu sana” alimkataaa mpaka pale ilipokuja ofa ya City
Lakini Toure aliendelea kwa kusema kama angekuwa anaongea na mimi ningeweza kubakia Barcelona ata nisingeweza kuhama mimi nilitaka kumalizia maisha yangu ya soka Barcelona.
Guardiola tumeona amefundisha majina matatu makubwa kutokea Afrika alipokuwa Barcelona akiwemo Mfaransa Eric Abidal, Etoo na Keita.
Ukimchukulia mchezaji kama Keita ambae alicheza michezo 188 kwa Barcelona chini ya Guardiola hapa ndio utajua kwamba kuna wachezaji wachache ambao walipewa mda kidogo na kocha huyu.
No comments:
Post a Comment