Likiwa linaendelea bifu lao na likiwa limedumu kwa miaka huku likifikia hatua nyingine mpya na kubwa pale Pusha alipokubali kumdis Drake kwenye ngoma yake mpya "Infrared" na Drake kurudisha mashambulizi kwenye "Duppy Freestyle".
Mashabiki wa Hip Hop wakiwa wanapata burudani ya haina yake kupitia Bifu ilo na kuwaona watu wakifikilia mbali juu ya Drizzy na King Push.
Drake na Pusha T wamekuwa wakitikisa kwenye mitandao tofauti Duniani kwa mda sasa huku wawili hawa wote wakianza kupigana vijembe kutokea 2011, Tangia mashabiki wa Rap wakiwa wavumilivu kusubiria mistari ya wimbo ambao Drake ata mjibu Pusha na ambao inasemwa kuwa ndio inafanyiwa kazi kwa sasa.
Wakiwa wote wanawashabiki wao na wameojionesha je kwa wewe kwa wakali hawa utakuwepo upande gani..?
Home
Unlabelled
Drake au Pusha-T ; Upande upi upo wa bifu?
Drake au Pusha-T ; Upande upi upo wa bifu?
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment