Kwa Walio Wengi ata haiwaingii akilini lakini kwangu mimi Ninaelewa kwanini, Zidane anaiacha Real Madrid baada ya siku tano tu za kuweka historia kwenye klabu bingwa Ulaya. - BZONE

Kwa Walio Wengi ata haiwaingii akilini lakini kwangu mimi Ninaelewa kwanini, Zidane anaiacha Real Madrid baada ya siku tano tu za kuweka historia kwenye klabu bingwa Ulaya.

Share This
Zinedine Zidane ameacha kibarua chake baada ya kujiandikia historia ya klabu Bingwa Ulaya baada ya kubeba mara tatu taji ilo.



Mfaransa huyu ameitisha mkutano ambao ata haukutarajiwa na watu wengi leo Mchana na kufunguka kwamba ataondoka klabuni hapo baada ya miaka miwili na nusu akiwa kama kocha.

Zidane and Cristiano Ronaldo (second right) smile following their Champions League success in Ukraine

Gwiji huyu mwenye umri wa miaka 45 amekuwa kwenye klabu kama kocha na kama mchezaji na alichoweza kusema kwamba kwa yeye binafsi ndio anaona ni mda muafaka kwake yeye kuondoka, kocha wa zamani wa Arsenal Arsene Wenger, Antonio Conte na Mauricio Pochettino ni miongoni mwa kocha walioweza kutajwa awali kuwania kiti cha mfaransa huyo.

Zidane poses with his second Champions League title in Cardiff after Real saw off Juventus in the final in June 2017

Zidane akiwa mchezaji wa zamani wa Real, Juventus pamoja na Bordeaux ilikuwa inaeleweka kabisa alikuwa chini ya Madrid mpaka 2020, akitokea kwenye kikosi B akichukua nafasi ilioachwa wazi na Rafa Benitez Januari 2016.



Zidane ameweza kushinda aslimia 70 ya michezo yake ya ligi akiwa kama kocha na amepoteza michezo minne tu pekee ya klabu bingwa Ulaya kwenye kipindi chake.

No comments:

Post a Comment

Pages