Baada ya miaka 80 wametoka kwenye atua ya makundi. - BZONE

Baada ya miaka 80 wametoka kwenye atua ya makundi.

Share This
Ata aikufukirika kabisa kama ingekuwa hivi na kama kingetokea kitu kama ichi kuwaona mabingwa watetezi wakitolewa kwenye hatua ya mapema kabisa na wametoka kwente hatua ya makundi.

The German players - world champions in 2014 - are left disconsolate at the final whistle after finishing bottom of Group F 

Kushindwa kwao dhidi ya South Korea siku ya Jumatano ukichanganya na ushindi walioupata Sweden dhidi ya Mexico tumemuona Joachim Low na Vijana wake wakiangukia pua kwenye mashindano haya nchini Urusi wakiwa na miaka 80 kukaa bila kutoka kwenye hatua hii.

Sweden wameweza kushinda kwenye nafasi ya kundi ili kwa kuwapiga Mexico magoli 3-0 wakichukua nafasi ya Mexico na ilitakiwa Ujerumani wampige Korea Kusini ili wawe kwenye nafasi ya pili.

The unthinkable has happened - Germany are out of the World Cup at the group stage after losing 2-0 to South Korea

Baada ya kupoteza mchezo wa Jana kocha wa Ujerumani ambae mkataba wake unaenda hadi mwaka 2022 lakini tunaweza tukamuona anaachia ngazi baada ya kutolewa kwenye atua ya mapema kabisa.


No comments:

Post a Comment

Pages