Cristiano Ronaldo ameambiwa na Real Madrid kwamba atopewa mkataba mpya ambao anaotaka msimu ujao na kumfanya kumuachia maamuzi ya maisha yake soka mkononi,
Ronaldo anaamini kwamba aliahidiwa dili jipya na alipewa ahadi ya kupewa fungu nono kwenye mkataba mpya mwanzoni mwa mwaka, wawakillishi wake wamekutana na Real Madrid na Klabu hi ya Uhispania imeweka wazi kwamba hawatompa ofa mpya ya kuweza kulipwa kama Lionel Messi na Neymar kitu ambacho yeye anaona kama ni sahihi kwasababu ya kupata ballon'Or.
Messi nalipwa Pauni Milioni 30.7 msimu mzima kutoka Barcelona huku Ronaldo anaingiza Pauni Milioni 22 na bado yupo kwenye mawingu ya kuongeza Pauni Milioni 13, Ronaldo anataka kuwa mchezaji anaelipwa Ela nyingi Duniani.
Home
Unlabelled
Atujui ataenda wapi.. !! Maisha yake yapo njia panda baada ya Real Madrid kuthibitisha kutompa mkataba mpya Ronaldo...
Atujui ataenda wapi.. !! Maisha yake yapo njia panda baada ya Real Madrid kuthibitisha kutompa mkataba mpya Ronaldo...
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment