Atujui ataenda wapi.. !! Maisha yake yapo njia panda baada ya Real Madrid kuthibitisha kutompa mkataba mpya Ronaldo... - BZONE

Atujui ataenda wapi.. !! Maisha yake yapo njia panda baada ya Real Madrid kuthibitisha kutompa mkataba mpya Ronaldo...

Share This
Cristiano Ronaldo ameambiwa na Real Madrid kwamba atopewa mkataba mpya ambao anaotaka msimu ujao na kumfanya kumuachia maamuzi ya maisha yake soka mkononi,

Cristiano Ronaldo has been told he will not be offered a bumper new Real Madrid contract

Ronaldo anaamini kwamba aliahidiwa dili jipya na alipewa ahadi ya kupewa fungu nono kwenye mkataba mpya mwanzoni mwa mwaka, wawakillishi wake wamekutana na Real Madrid na Klabu hi ya Uhispania imeweka wazi kwamba hawatompa ofa mpya ya kuweza kulipwa kama Lionel Messi na Neymar kitu ambacho yeye anaona kama ni sahihi kwasababu ya kupata ballon'Or.

Related image

Messi nalipwa Pauni Milioni 30.7 msimu mzima kutoka Barcelona huku Ronaldo anaingiza Pauni Milioni 22 na bado yupo kwenye mawingu ya kuongeza Pauni Milioni 13, Ronaldo anataka kuwa mchezaji anaelipwa Ela nyingi Duniani.


No comments:

Post a Comment

Pages