Wiki hii Belle ameonekana kupost picha takribani nne kwenye mtandao wake wa Instagram zikimuonyesha kama akiwa location kutengeneza kichupa hiko
Lakini pia kunauwezekano wimbo huo ukapewa jina la ‘Dada’ kutokana na hashtag ambayo amekuwa akiitumia kwenye picha hizo huku akiandika baadhi ya maneno ambayo yanaonekana kuwa ni kama mashairi ya wimbo huo.
No comments:
Post a Comment