Big Shaq karudi na hii ya kuchekesha ikijulikana "Man don't Dance" - BZONE

Big Shaq karudi na hii ya kuchekesha ikijulikana "Man don't Dance"

Share This
Big Shaq ni mtu mkubwa mwenye mipango mikubwa sana na sasa amerudi akiwa na single ya kwanza kwa mwaka 2018 “Man Don’t Dance”



Rapa huyu kutokea London ngoma yake hii mpya inaonekana inamkatalia mwanamke kucheza kwasababu maneno alioanza kutuambia anasikika akisema “one and one is two that was me and you but we ain’t stuck like glue (Boom)..!”

Image result for big shaq

Ngoma hii inaonekana kama inauhalisia flani hivi wa ucomedy kama ukipata nafasi ya kusikiliza maneno yake lakini Mr. Big shot alirekodi miezi michache tuu. Shaq anamuangazia mwanamke ambae alimuomba kucheza kwenye tamasha la Star weekend huko Califonia.

Image result for big shaq

Tangia alipoachia ‘Man’s not hot’ Big Shaq amekuwa kioo kwenye tansinia hii ya mziki tangia alipoanza kujulikana  na ameshafanya baadhi ya matangazo na Fifa pamoja na Nike na anatarajiwa kufanya baadhi ya matamasha kamaWireless Festival, Longitude festival, Reading and Leeds Festival

Chakufanya sasa hivi sikiliza ngoma hii mpya ya Big shaq natumaini utaweza kuburudika.

No comments:

Post a Comment

Pages