Itakuwa ni vigumu sana kumpinga Unai Emery kuchaguliwa kuwa kocha wa Arsenal, lakini ni rahisi kuandika nini atakacho kikosa.
Japo ni mtu ambae akufanikiwa kubeba kombe la Ufaransa akiwa na PSG, Mtu ambae anaona makubwa yaliokuwa mbele yake kwenye mashindano ya Ulaya japo pale alipopeperushwa akiwa na PSG na ni mtu mwenye rekodi kubwa barani Ulaya kwenye mashindano ya vilabu sio kama ilivyo kwa Arsene Wenger alivokuwa.
Hii ni Klabu ambayo ipo nje ya mashindano ya Klabi bingwa Ulaya ikiwa na kikosi cha kudhaurika na kichotimia ambacho kinaweza kurudi kwenye nafasi nne za juu bila kufanya usajili wowote. Arsenal wanaukosefu wa kukosa wachezaji ambao sio World Class kwenye kupata magoli, kwenye ulinzi na Uungaji wa timu.
Wachezaji watatu ambao wanaunda kikosi cha kwanza wanaweza wakawekwa kwenye mabano Pierre Emerick Aubameyang, Henrink Mkhitaryan na Mesut Ozil hawa wote wamekwa kwenye kitanzi cha dili la mda mrefu kwenye klabu.
Lakini Arsenal inabidi wajihesabie wao wenyewe watu wenye bahati sana kwa kupata kocha mwenye mvuto wa kipekee kama alivyo Emery.
Mtu ambae alikuwa na Sevilla ambae akafanikiwa kubeba mataji matatu ya Europa ambayo ni mashindano anayo wawakilisha Washika mitutu na ni mzunguko mmoja wapo wa kuwarudisha kwenye klabu bingwa Ulaya, Kwa wiki kadhaa nyuma Mikel Arteta aliangaliwa kuja kuchukua mikoba ya Wenger japo kuna watu walijaribu kumtengenezea njia ya kupata mkoba huo.
Lakini kwa CV aliyokuwa nayo kocha huyu mpya wa Arsenal ingekuwa ngumu sana kumkataa kuliko Arteta. Emery ni zawadi kubwa sana kwa washika mitutu ila sasa wachezaji wanatakiwa waongeze juhudi binafsi kwajili yake na kuboreka zaidi na walipo kabla ajaanza afanya manunuzi yoyote.
Home
Unlabelled
Arsenal wanabahati SANA kumpata Unai Emery lakini wanaupungufu wa vipaji kwenye Ulinzi na Kiungo na wachezaji muhimu..!!
Arsenal wanabahati SANA kumpata Unai Emery lakini wanaupungufu wa vipaji kwenye Ulinzi na Kiungo na wachezaji muhimu..!!
Share This
Share This
About Bwherever
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment