REAL MADRID HAWANA UHAKIKA NA KIWANGO CHA HAZARD NA BEI ANAYOUZWA.. - BZONE

REAL MADRID HAWANA UHAKIKA NA KIWANGO CHA HAZARD NA BEI ANAYOUZWA..

Share This
The 27-year-old will lead Belgium to the World Cup in Russia this summer as captain Real Madrid wapo kwenye kufikilia kupangua pembeni dili la Hazard na kutofanya mazungumzo yoyote tena kulingana na taarifa zilizokuwepo kutokea Hispania.

Eden Hazard has emerged as a potential summer target for Real Madrid this summer

Mbelgiji huyu amekuwa kwenye rada za Real Madrid kwa miaka kadhaa akitazamiwa kuwa mrithi wa Cristiano Ronaldo.
Sasa hiyo inataarifiwa inaweza ikabadilishwa mda wowote huku Real Madrid wakiwa kwenye hofu kubwa ya kutumia pauni milioni 100 kwa nyota huyo wa chelsea wakiofia mchezaji huyo ameshuka kiwango na watakaa kumtazama mpaka pale kombe la Dunia litakapo malizika.

The 27-year-old will lead Belgium to the World Cup in Russia this summer as captain 

Mbali na hiyoo nyota huyo mwenye umri wa miaka 27 amekuwa sehemu muhimu ya Muitaliano Antonio Conte huku Chelsea wapo teyari kupokea ofa ya pauni milioni 100 kwa timu yoyote itakayo mtaka mchezaji huyoo.

Real Madrid worry they will stall the progression of Marco Asensio (left) by signing Hazard

Chelsea nao pia wanajiandaa kuandaa Ofa kwajili ya mshambuliaji kinda wa Real Madrid Marco Asensio lakini kwa upande mwengine Chelsea wataendelea kumkazia Hazard ili aweze kuongeza mkataba na wapo teyari kumfanya kuwa mchezaji anaelipwa mshahara mkubwa ndani ya Chelsea  kwa kulipwa pauni 300,000 kwa wiki akitokea pauni 200,000 kwa wiki.

No comments:

Post a Comment

Pages