“Kwa sababu nyimbo za Jux karibia zote zinawashika kwanza wanawake, halafu pia uimbaji wake ni RnB ambayo anaweza kuimba mwanaume au mwanamke, kwa hiyo nafikiri ule uliniingia zaidi,” amesema Ruby.
Ruby kwa sasa anafanya vizuri kwa sasa na ngoma ‘One and Only’ aliyoshirikishwa na Nedy Music.
No comments:
Post a Comment