CHELSEA WAMEWEKA MEZANI PAUNI MILIONI 35 KWAJILI YA NYOTA WA NICE JEAN MICHAEL SERI LAKINI HATOJIUNGA MPAKA AJUE HATMA YA CONTE. - BZONE

CHELSEA WAMEWEKA MEZANI PAUNI MILIONI 35 KWAJILI YA NYOTA WA NICE JEAN MICHAEL SERI LAKINI HATOJIUNGA MPAKA AJUE HATMA YA CONTE.

Share This
Seri is wanted by Chelsea, but they may need to resolve their managerial situation first
Chelsea wameenda njia kwajili ya kuweza kumuamisha kiungo wa Nice Jean Michael Seri kwa Pauni Milioni 35  lakini hatofikilia kujiunga na klabu hiyo kutokana na hali aliyokuwa nayo mpaka itolewe hatma yake.

Jean Michael Seri (right) is being looked at by a number of Premier League clubs this summer

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 ameweza kuonwa kwenye msimu huu na kuwa target kubwa ya wanadarajani kutokana na ripoti lakini kuna kutofahamika nani anaweza akachukua mikoba ya Conte au Conte mwenyewe kuendelea.

Antonio Conte is expected to leave Stamford Bridge in the summer after a difficult season

Antonio Conte anaonekana kama yupo nyuma ya mwamvuli alioushika mwenyewe msimu huu na uhamisho wa Seri hautoweza kufanyika mpaka atakapo julikana anae chukua mikoba ya Conte.

No comments:

Post a Comment

Pages