

Taarifa za ndoa yake ziligubikwa na usiri mkubwa hali ambayo ilivifanya vyombo vingi vya habari nchini Tanzania na Uganda kuandika tetesi za ndoa hiyo huku vingine vikienda mbali zaidi kwa kudai ndoa hiyo ilishafungwa.

Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, ndoa hiyo itarushwa live na kituo cha runinga cha Azam TV , Muimbaji huyo atafanya sherehe nyingine nchini Tanzania wiki moja baada ya ndoa ya awali.

Chanzo hicho kimedai ndoa hiyo itagharimu mamilioni ya hela kutokana na maandalizi pamoja na deal hilo la Azam.
No comments:
Post a Comment