Mwezi wa tatu utakuwa mzuri hasa kwa mashabiki wa muziki wa Hip Hop pale watakapoziona sura za watu wanowakubali katika jarida la New York Times la mwezi huu.
Jarida hilo lililopabwa na sura tofauti tofauti kama Cardi B, SZA, Gucci Mane na King Krule litawapa nafasi wakali hao kuziachia ngoma 25 wanazipenda na kuelezea muziki unapoelekea.
’’McGinley’s dreamy portraits of these musicians, along with a sketchy, scribbly, partly hand-drawn design, set a loose, creative tone for the issue.It’s the feeling of being present at the creation, a witness to the birth of new aristic energies, which is what this annual issue is all about,” ameeleza mhariri mkuu wa Jarida hilo Jake Silverstein
Home
Unlabelled
WASANII WA HIP HOP WAPATA SHAVU KWENYE JARIDA LA NEWYORK TIMES
WASANII WA HIP HOP WAPATA SHAVU KWENYE JARIDA LA NEWYORK TIMES
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment