

Weekend hii staa huyu wa hiphop alionekana kwenye picha na shabiki akiwa na nywele za PINK.

Kanye kwa sasa yupo studio akitayarisha album yake mpya itakayokuwa muendelezo wa cd yake ya mwaka 2016 The Life of Pablo na kusimamia album ya G.O.O.D Music ya Cruel Winter akiwa na Kid Cudi.
No comments:
Post a Comment