Robert Lewandowski amekataa dili jipya ndani ya Bayern Munich na kufungua maongezi na Real Madrid.
Kupitia Sky Germany ambao wamesema mshambuliaji wa Kipolish yupo kwenye mazungumzo na Los Blancos. Utuaji wa Lewandowski unaweza ukaaribu maisha ya Karim Benzema pamoja na Mfaransa huyu akiwa anahusishwa na kuondoka Bernabeu msimu ujao.
Home
Unlabelled
ROBERT LEWANDOWSKI 'AKATAA MKATABA MPYA BAYERN NA KUFUNGUA MAONGEZI MAPYA NA REAL MADRID'
ROBERT LEWANDOWSKI 'AKATAA MKATABA MPYA BAYERN NA KUFUNGUA MAONGEZI MAPYA NA REAL MADRID'
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment