OUSMANE DEMBELE LAZIMA HAWE NA CHAGUO SAHIHI KWENYE AKILI YAKE ILI AFANIKIWE BARCELONA 'KUNA WACHEZAJI WAZURI AMBAO HAWAKUFANYA KITU KWASABABU HAWAKUWEZA KUIMILI MIKIKI' - BZONE

OUSMANE DEMBELE LAZIMA HAWE NA CHAGUO SAHIHI KWENYE AKILI YAKE ILI AFANIKIWE BARCELONA 'KUNA WACHEZAJI WAZURI AMBAO HAWAKUFANYA KITU KWASABABU HAWAKUWEZA KUIMILI MIKIKI'

Share This
Gwiji wa Barcelona Xavi ambae amesema Ousmane Dembele anatakiwa kuwa na mahamuzi yalio sahihi kwenye akili yake kama anataka kupita kwenye kipimo cha mwisho na kufanikiwa akiwa kwenye klabu ya Kikatalunya.

Xavi has claimed Ousmane Dembele must have the right mentality to flourish at Barcelona

Kijana huyu mwenye umri wa miaka 20 alipelekwa Uhispania kwenye dirisha kubwa la usajili kwa ada ya pauni milioni 96 akitokea Borussia Dortmund na haraka ilikuweza kuziba pengo la Neymar na kuvaa viatu vya Neymar ambae alietimukia Ufaransa kwa kuvunja rekodi ya Dunia.

Dembele (on the ball) trained with the France national side ahead of their friendlies on Tuesday

Dembele aliwasili akitokea kwenye ligi ya Bundesliga ambapo alifanya vizuri lakini kwasasa anapigana ili kuweza kuonesha na kuleta cheche zake alizokuwa anazo kule Ujerumani kwenye klabu yake ya mpya baada ya kupata majeraha yaliomuweka nje kwa miezi mitatu.

The 20-year-old has impressed recently and set up Lionel Messi to score last weekend

Mbali na hiyo pole pole lakini Winga wa Kifaransa anaanza kutafuta mguu wake na ameshaanza kurudisha cheche zake baada ya kuwasha mkwaju wenye ustadi kwenye klabu bingwa Ulaya dhidi ya Chelsea na akitoa assist mwishoni mwa wiki.

Mchezaji wa zamani wa Barca Xavi anaamini Dembele kurudi kwenye kiwango chake anatakiwa kukuza ujasiri wake lakini amekuwa akibishana na kijana huyo kwamba bado kuna mda mzuri mwingi tu wa kujifunza kama anataka kufanikiwa kwenye klabu.

But Xavi insisted Dembele still has a lot to learn and must prove he can handle the pressure

'Ata takiwa kujifunza jinsi ya kufikria haraka, kwenye sekundu chache.' Xavi ambae ameshinda mataji 24 akiwa na Barcelona kwa miaka 17 amesema hayo.

Aliendelea; 'Hapa ndipo tutamuona kama ana akili. Lazima ajiambie mwenyewe: "Mimi ni mchezaji wa Barcelona." Lazima kifikra uwe na nguvu ili uwe na unajua hatia.

Xavi said: 'He must say to himself: "l am a Barca player". You have to have conviction'

'Kuna wachezaji wenye viwango ambao wametumikia Barcelona kwa miaka zaidi ya 15 kwasababu walikuwa na ukurasa pamoja na muoenekano tofauti na kuna bado wachezaji wazuri ambao hawakufanya kitu kwasababu hawakuweza kumiliki mikiki.

Mbali na kuonesha kiwango kizuri kwenye mashindano ya Ulaya dhidi ya Chelsea Xavi alisisitiza atua hii itachukua mda kidogo pale utakapo pita mchuji wa Barcelona juu ya nani anafaa nani afai.



'Dembele anakipaji, ana mbio lakini atokwenda kupata nafasi aliokuwa nayo Dortmund na Rennes.'

No comments:

Post a Comment

Pages