Beki huyu wa Kifaransa yeye binafsi amethibitisha anataka kudondoka Old Trafford msimu ujao lakini United watapata wakati mgumu sana mpaka kumpata beki huyu kwanza ushindani kutoka kwa Chelsea na pia Barcelona kama watamruhusu Samuel kuondoka Nou Camp.
Taarifa kutokea Hispania zina sema kuwa Chelsea wapoteyari kupigana kufa na kupona Jino kwa Jino Kucha kwa kucha mpaka wampate beki huyo wa kati.
No comments:
Post a Comment