ANTONIO CONTE AKUTAKA KUFANYA MAKOSA, LAKINI KUCHEZA CHINI YA KIWANGO KUNAWEZA KUKAMLETEA ISHARA NYINGINE TENA. - BZONE

ANTONIO CONTE AKUTAKA KUFANYA MAKOSA, LAKINI KUCHEZA CHINI YA KIWANGO KUNAWEZA KUKAMLETEA ISHARA NYINGINE TENA.

Share This
Kuna kuwaga na sehemu ngumu chache mara nyingi za kulahumiwa lakini sio Nou Camp.



Lakini kushindwa kwao kumeonesha ishara mbaya kwa Conte pale Stamford Bridge baada ya Chelsea kutolewa kwenye mashinda ya Ulaya.
Klabu Bingwa Ulaya ilikuwa  na ufanisi mkubwa kwa Conte na hiyo ishapita tena, Chelsea wamekuja kujikuta wapo kwenye njia fupi kwasasa hakuna safari nyingi za kutembea msimu huu na huku wakifanya makosa ambayo yanaweza kuuwa utaratibu na mikakati yake 

Lile funzo alilopata msimu uliopita alipochukua ubingwa imekuja kuchukuliwa na kushukua kwa kiwango ambacho kimewafanya kufikia hatua mpaka hii hasa pale unapokutana na Lionel Messi.



Au labda alikuwa Andreas Christensen aliteleza aliporudisha ile pasi nyuma, Thibaut Courtois kupigwa goli pembeni ya nguzo yake au Cesc Fabregas anapo poteza yote ni makosa ambayo hawakufanya msimu uliopita.

Yale makosa yaliangamiza kiwango chao ambacho kipindi hicho walichofanya mambo yakawa mazuri . Marcos Alonso aligongesha mwamba, N'Golo kante alikuwa anakaribia, Eden Hazard  na Willian walikuwa waliwasumbua kimtindo Barcelona. Lakini walikuwa washachelewa.

Match stats

Barcelona
4-4-2
Barcelona3-0ChelseaChelsea
5-4-1
HT 2-0
Champions League14-03-2018

Barcelona

1Marc-André ter StegenGK
20Sergi Roberto 22'DF
18Jordi AlbaDF
3Gerard PiquéDF
23Samuel UmtitiDF
5Sergio Busquets 61'MF
11Ousmane Dembélé 20'67'MF
4Ivan RakiticMF
8Andrés Iniesta (C) 56'MF
9Luis SuárezFW
10Lionel Messi 3'63'FW

Substitutes

22Aleix Vidal 67'Sub
15Paulinho 56'Sub
21André Gomes 61'Sub

Chelsea

13Thibaut CourtoisGK
15Victor Moses 67'DF
3Marcos Alonso 75'DF
2Antonio RüdigerDF
27Andreas ChristensenDF
28César Azpilicueta (C)DF
22Willian 45'MF
4Cesc FàbregasMF
7N'Golo KantéMF
10Eden Hazard 82'MF
18Olivier Giroud 49'67'FW

Substitutes

21Davide Zappacosta 67'Sub
9Álvaro Morata 67'Sub
11Pedro 82'Sub

Hivi unadhani walikuwa wanakumbushwa na mda kwamba vilabu vya uingereza bado havijafkia hatua ya kuweza kuvishinda vilabu kutoka Uhispania. 

Mchezo unaokuja kwenye siku zijazo au wiki zijazo ndio utatufanya tumjue kocha mpya wa Chelsea. 

No comments:

Post a Comment

Pages