Nigeria wametoa jezi zao zitakazo tumika kwenye kombe la Dunia mwaka 2018 huku Super Eagles hao wakirudisha jezi zao walizo tumia kipindi kile walivoshiriki marekani mwaka 1994.
Jezi ya nyumnbani ina kijani mpauko ikiwa na zig zag nyeupe zikipita kutokea kushoto kwenda kulia.
Na jezi ya ugenini kwajili ya Russia kwenye kombe la dunia ni ya kueleweka sana ikiwa na ukumbusho ya kwamba hii ni Nigeria sasa ambayo inaukijani wa kukolea kuanzia juu mpaka chini.
Jezi hizi zimetengenezwa na Nike na wenyewe Nike wanasema walivopokea order wametaka kuleta hisia kwa wachezaji na mashabiki pale watakapo ivaa jezi hii.
Jezi zimeweza kuzinduliwa na wachezaji kutokea ligi kuu ya uingereza wakiwemo Wilfried Ndidi,Alex Iwobi na Kelechi Iheanacho bila kumsahau aliekuwa ,mchezaji wa zamani Chelsea Jon Obi Mikel.
Nigeria wapo kundi D ambapo wanaungana na timu kama Argentina,Croatia na Iceland.
Home
Unlabelled
WAMETURUDISHA MWAKA WA 1994, NIGERIA WATOA JEZI ZAO ZITAKAZO TUMIKA KWENYE KOMBE LA DUNIA RUSSIA 2018
WAMETURUDISHA MWAKA WA 1994, NIGERIA WATOA JEZI ZAO ZITAKAZO TUMIKA KWENYE KOMBE LA DUNIA RUSSIA 2018
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment