WAMETURUDISHA MWAKA WA 1994, NIGERIA WATOA JEZI ZAO ZITAKAZO TUMIKA KWENYE KOMBE LA DUNIA RUSSIA 2018 - BZONE

WAMETURUDISHA MWAKA WA 1994, NIGERIA WATOA JEZI ZAO ZITAKAZO TUMIKA KWENYE KOMBE LA DUNIA RUSSIA 2018

Share This
Arsenal's Alex Iwobi modelling the home shirtNigeria wametoa jezi zao zitakazo tumika kwenye kombe la Dunia mwaka 2018 huku Super Eagles hao wakirudisha jezi zao walizo tumia kipindi kile walivoshiriki marekani mwaka 1994.Shirt pays homage to Nigeria's 1994 kit - the away shirt pictured here worn by Finidi George

Jezi ya nyumnbani ina kijani mpauko ikiwa na zig zag nyeupe zikipita kutokea kushoto kwenda kulia.

Na jezi ya ugenini kwajili ya Russia kwenye kombe la dunia ni ya kueleweka sana ikiwa na ukumbusho ya kwamba hii ni Nigeria sasa ambayo inaukijani wa kukolea kuanzia juu mpaka chini.Ex-Chelsea midfielder Jon Obi Mikel sporting the away shirt

Jezi hizi zimetengenezwa na Nike na wenyewe Nike wanasema walivopokea order wametaka kuleta hisia kwa wachezaji na mashabiki pale watakapo ivaa jezi hii.

Jezi zimeweza kuzinduliwa na wachezaji kutokea ligi kuu ya uingereza wakiwemo Wilfried Ndidi,Alex Iwobi na Kelechi Iheanacho bila kumsahau aliekuwa ,mchezaji wa zamani Chelsea Jon Obi Mikel. 

Nigeria wapo kundi D  ambapo wanaungana na timu kama Argentina,Croatia na Iceland.

No comments:

Post a Comment

Pages