Ukame ukiendelea kumuandama lakini Paul Lambert ameendelea kukusitiza mshambuliaji huyo anaweza akamaliza magumu anayopitia.
Berahino yupo kwenye wakati mgumu wa kukaa miaka miwili bila kupata goli lolote mara ya mwisho kujipatia goli ilikuwa ni ule mchezo wa West Brom na Crystal Palace ambapo walitoka 3-2 Februari 27 2016 na huku wanabandari hao wakiwa kwenye nafasi ya kushuka daraja na mchezo wao wa mwusho wakitazama kumenyana na Leceister siku ya Jumamosi.
Lambert ambae aliichukua Stoke wiki tano zilizo pita akiwa kama kocha ambae alitoa ufafanuzi juu ya mshambuliaji huyoo kutopata magoli hakuna tatizo lolote.
'Sijui amepatwa na nini' alisema "nayoweza kuyaona ni vitu gani vipo mbele yangu mimi sio yeye"
"niwaambie kitu, anakipaji cha pekee na mmaliziaji mzuri sana"
Berahino aliweza kushinda magoli 20 kwenye msimu wa 2014-15 na kuweza kujipatia nafasi ya kipekee kwenye kikosi cha Uingereza kilichokuwa chini ya Roy Hodgson lakini kwasasa amepata ukame mkubwa sana.
1 Xherdan ShaqiriApp.25Goals62 Mame Biram Diouf26 5 3 Eric Maxim Choupo-Moting26 4 4 Peter Crouch21 3 5= Ramadan Sobhi17 2 5= Joe Allen25 2 7= Jesé10 1 7= Ryan Shawcross19 1 7= Kurt Zouma24 1 7= Darren Fletcher
Alipata nafasi ya kipekee ya kupata goli lake la kwanza baada ya Stoke kupata penati lakini kwa bahati mbaya ikaokolewa
Berahino ukame wake ulianza baada ya kukataa ofa ya pauini milioni 23 ya kuelekea Tottenham msimu wa 2015.
Magoli yake hapo ndipo yalipoanza kukaukaa,
Akuweza kucheza kwa takribani miezi minne pale Mark Hughes, Pulli walipomsajili Januari 2017.
Berahino alifungiwa kwa wiki nane baada ya kukutwa anatumia madawa ya kuongeza nguvu.
No comments:
Post a Comment