MESSI MASTERCLASS.............BILA YEYE HAKUNA SUAREZ KWENYE ZILE TATU WALA COUNTINHO KWENYE ZILE ALIZOPATA. - BZONE

MESSI MASTERCLASS.............BILA YEYE HAKUNA SUAREZ KWENYE ZILE TATU WALA COUNTINHO KWENYE ZILE ALIZOPATA.

Share This
The five-time Ballon d'Or winner put the La Liga leaders 2-1 ahead thanks to a brilliant individual goal in the 30th minutePale unapofikilia na kumuona Messi anafanya kila kitu, sasa amefanya kitu kipya...

Mpira wake uliokufa alioupiga chini ya ukuta wa Girona kwenye ushindi wa Barcelona wa 6-1, ulileta kelele za furaha kutoka Camp Nou na ilikuwa ni moja ya dakika 45 ambazo ziliongeza magoli mengine mawili na usaidizi mara mbili.Luis Suarez scored Barcelona's final goal of the night to clinch his hat-trick as they ran out emphatic 6-1 winners

Thomas Vermaelen alinukuliwa akisema  mara nyingine najikuta mimi kama mimi nacheka mwenyewe pale napomuangalia Messi kwa upande wangu na nina amini Ronaldinho popote alipo atakuwa na furaha kama niliokuwa nayo mimi.

Ilikuwa ni moja ya kipindi cha kwanza kizuri na cha kuvutia ambapo Messi alifanya Bacelona kung'ara mapema tuu ya mchezo baada ya kufunga magoli mawili ya mapema na kuifanya Barcelona kushika mchezo.Philippe Coutinho produced the moment of the game to put his new Barcelona side 5-1 up in the 66th minute

Miujiza ikaendelea baada ya Philipe Countinho kushinda goli lake la kwanza kwenye La Liga na shuti lilotokea nje na vile vile Ousmane Dembele amejikuta akikiona kile kiwango chake alichokuwa nacho Dortmund kwenye kipindi cha pili.
Messi pictured firing home Barcelona's second goal of the night after brilliant trickery inside the Girona area
Iliwachukua miaka 87 kutua Camp Nou kwa mchezo wa hali ya juu kabla ya dakika tatu ambapo walipata goli lao kwanza.
Sergio Busquets aliweza kusimama sawia katikatika ya dimba na huku Anthony Lozano akijikuta apati nafasi kabisa uwanjani Mac Andre ter-Stegen amejikuta akiwa mtuulivu kwenye chumba chake na akupata kelo yoyote ya kudaiwa.Suarez scores past Girona goalkeeper Yassine Bounou to score the first of the night for Ernesto Valverde's side

Messi alikuwa engine nyuma ya Countinho na Suarez, Gerad pique ambae aliecheza huku goti lake la kulia likiwa kwenye majeraha aliweza kutoka dakika ya 64 na kumpa nafasi Thomas Vermalen, katika ya wiki Barcelona wanamchezo dhidi ya Atletico madrid pamoja  na ule mchezo wa Chelse kwenye klabu bingwa ulaya.Striker Suarez levelled the scoring at 1-1 on the weekend just two minutes after going behind to their Catalan rivals

No comments:

Post a Comment

Pages