Mshambuliaji wa Liverpool ambae ambae ametolewa kwa mkopo Daniel Sturridge amepata tena majeraha baada ya kudumu ndani ya dakika huku West Brom wakifa kwa magoli 3-0 kwenye dimba la Stamford Bridge.
Majeraha haya yanoyo mkabili mara kwa mara yametokea kwa kusababishwa na misuli ya paja baada ya kudondoshwa chini na beki mmoja wapo wa Chelsea.
Lakini baada ya Mechi kocha wake Alan Pardew alitoa wasi wasi kwa mashabiki kwa kusema kwamba majeraha hayo ni yapo makini kweli lakini na akasititiza kuwa atochukua mda kurydi uwanjani
Sturridge alijiunga na Baggies kwa mkopo wa mda mfupi akitokea Anfield akiwa anajitazamia yemwenyewe aweze kurudi kwenye kikosi cha uingereza ambacho kitashiriki michuano ya kombe la Dunia lakini kwasasa wazi tunaona na atujui ni mda gani atachukua kuweza kurudi uwanjani baada ya kupata tena majeruhi.
Home
Unlabelled
KWANI ANATATIZO GANI JAMANI, YUPO KWA MKOPO LAKINI NDANI YA DAKIKA TATU KATOLEWA....!!
KWANI ANATATIZO GANI JAMANI, YUPO KWA MKOPO LAKINI NDANI YA DAKIKA TATU KATOLEWA....!!
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment