KWANI ANATATIZO GANI JAMANI, YUPO KWA MKOPO LAKINI NDANI YA DAKIKA TATU KATOLEWA....!! - BZONE

KWANI ANATATIZO GANI JAMANI, YUPO KWA MKOPO LAKINI NDANI YA DAKIKA TATU KATOLEWA....!!

Share This
Daniel Sturridge lasted just three minutes for West Bromwich Albion after going off injured Mshambuliaji wa Liverpool ambae ambae ametolewa kwa mkopo Daniel Sturridge amepata tena majeraha baada ya kudumu ndani ya dakika huku West Brom wakifa kwa magoli 3-0 kwenye dimba la Stamford Bridge.The Liverpool loanee started for the Baggies against Chelsea on Monday night

Majeraha haya yanoyo mkabili mara kwa mara yametokea kwa kusababishwa na misuli ya paja baada ya kudondoshwa chini na beki mmoja wapo wa Chelsea.

Lakini baada ya Mechi kocha wake Alan Pardew alitoa wasi wasi kwa mashabiki kwa kusema kwamba majeraha hayo ni yapo makini kweli lakini na akasititiza kuwa atochukua mda kurydi uwanjani The injury-prone forward headed down the tunnel after being substituted by Alan Pardew

Sturridge alijiunga na Baggies kwa mkopo wa mda mfupi akitokea Anfield akiwa anajitazamia yemwenyewe aweze kurudi kwenye kikosi cha uingereza ambacho kitashiriki michuano ya kombe la Dunia  lakini kwasasa wazi tunaona na atujui ni mda gani atachukua kuweza kurudi uwanjani baada ya kupata tena majeruhi.

No comments:

Post a Comment

Pages