JUVE WAPO NA MDUDU MBAYA SANA, Gwiji wa Juventus Giorgio Chiellini atoa tahadhari juu ya Harry Kane na yupo kiwango sawa na Messi,Ronaldo na Neymar. - BZONE

JUVE WAPO NA MDUDU MBAYA SANA, Gwiji wa Juventus Giorgio Chiellini atoa tahadhari juu ya Harry Kane na yupo kiwango sawa na Messi,Ronaldo na Neymar.

Share This
 Chiellini says Juventus will have to be at their very best to knockout TottenhamBy Bwherever,

 Spurs ace Harry Kane will have a battle on his hands against Giorgio ChielliniVeterani huyu anaamini kuwa vilabu vinne tuu ndo vitaweza kumchukua mshambuliaji huyu wa kingereza...!

Kane anaenda kukutana uso kwa uso na na beki wa kitaliano kwenye mji wa Turin kwenye michuano ya klabu bingwa ulaya kwenye hatua ya 16 bora na kitakua kipimo kigumu sana kwao. The Juventus ace was talking up Kane's ability before their Champions League clash

Chiellini mwenye umri wa miaka 33 anaamini kwamba huwezi ukaweka dau kwa mshambuliaji wa kingereza lakini vile vile amewatahadharisha mashabiki wa Spurs watampoteza mchezajin wao hasa Real Madrid wakiingilia kati.

Alisema "Kane kwa sasa amekuwa ni moja kati ya wachezaji wakubwa wanaotazamwa kwa wingi Duniani. Kwa miaka iliopita pamoja na magoli alioshinda amekuwa kwenye kiwangon kizuri sana. The Italian believes Kane is on par with the likes of Ronaldo, Neymar and Messi

"Messi,Ronaldo, Neymar, Kane amekuwa kwenye kiwango sawa na chao amekuwa ni moja kati ya wachezaji wanajumuishiwa nao  na nina uhakika Tottenham watafanya kila linalowezekqana ili aweze kusalia. 

No comments:

Post a Comment

Pages