Bow Wow ambaye alitangaza kustaafu muziki mwaka 2016 anasema aliongea na P Didddy wakati wa safari yake kuelekea mjini L.A.
P Diddy alimwambia Bow Wow “Wewe ni LEGEND Tayari, acha ujinga , sitaki kukuona ukifanya jambo lolote zaidi ya muziki Tu”
Baada ya ushauri huo , Bow Wow ameanza kutoa muziki, hii ngoma mpya
No comments:
Post a Comment