BATSHUAYI AMEONESHA NINI CHELSEA WANAKIKOSA KWA KUPIGA GOLI DAKIKA ZA MAJERUHI.... - BZONE

BATSHUAYI AMEONESHA NINI CHELSEA WANAKIKOSA KWA KUPIGA GOLI DAKIKA ZA MAJERUHI....

Share This
Michy Batshuayi celebrates after equalising midway through the second half against AtalantaMichy  Batshuayi ameshinda mara mbili goli la pili lilitokea kwenye kipinfi cha majeruhi na kufanya Borussia Dortmund kupata ushindi wa 3-2 kushinda dhidi ya Atlanta kwenye mzunguko wa kwanza michuano ya Europa kwenye mzunguko wa 32 jana Alhamisi.

Batshuayi aliwapa mbili zawadi ya mbili Dortmund kwenye mchezo wake wa kwanza kwenye mashindano ya Ulaya msimu huu akiwa na Dortmund.Batshuayi slides in front of the home supporters after his fifth goal in three games

Dortmund awajawahi kushinda michezo tisa ya nyuma na wamejiuga na Europa baada ya kumaliza nafasi ya taty kwenye kundi lao.
Andre Schurrle gives Borussia Dortmund the lead in Thursday's Europa League clashAndre Schurle aliweza kuwaandikia bao la kwanza  baada ya juhudi zake na kuwafanya Dortmund 
kutangulia mbele kwa goli moja lakini furaha yao ikakatika baada ya Josep Ilicic kwa kuweka bakola lilotokea pembeni na kuwabariki waitaliano kuwa sawa haikuchukua mda Ilicic aliweza kuwaandikia goli la pili lakini ndani ya dakika kadhaa Batshuayi aliweza kuweka mambo sawa ndani ya dakika mbili za majeruhi aliweza kupata goli ambalo liliwaweka mbele Wajerumani  kuweza kuregeza tai................!!!!!

No comments:

Post a Comment

Pages