Michy Batshuayi ameshinda mara mbili goli la pili lilitokea kwenye kipinfi cha majeruhi na kufanya Borussia Dortmund kupata ushindi wa 3-2 kushinda dhidi ya Atlanta kwenye mzunguko wa kwanza michuano ya Europa kwenye mzunguko wa 32 jana Alhamisi.
Batshuayi aliwapa mbili zawadi ya mbili Dortmund kwenye mchezo wake wa kwanza kwenye mashindano ya Ulaya msimu huu akiwa na Dortmund.
Dortmund awajawahi kushinda michezo tisa ya nyuma na wamejiuga na Europa baada ya kumaliza nafasi ya taty kwenye kundi lao.
Andre Schurle aliweza kuwaandikia bao la kwanza baada ya juhudi zake na kuwafanya Dortmund
kutangulia mbele kwa goli moja lakini furaha yao ikakatika baada ya Josep Ilicic kwa kuweka bakola lilotokea pembeni na kuwabariki waitaliano kuwa sawa haikuchukua mda Ilicic aliweza kuwaandikia goli la pili lakini ndani ya dakika kadhaa Batshuayi aliweza kuweka mambo sawa ndani ya dakika mbili za majeruhi aliweza kupata goli ambalo liliwaweka mbele Wajerumani kuweza kuregeza tai................!!!!!
Home
Unlabelled
BATSHUAYI AMEONESHA NINI CHELSEA WANAKIKOSA KWA KUPIGA GOLI DAKIKA ZA MAJERUHI....
BATSHUAYI AMEONESHA NINI CHELSEA WANAKIKOSA KWA KUPIGA GOLI DAKIKA ZA MAJERUHI....
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment