TERMINATOR AU!! RONALDO KWELI NYOTA WA MADRID. - BZONE

TERMINATOR AU!! RONALDO KWELI NYOTA WA MADRID.

Share This
Cristiano Ronaldo sported a bruised eye after his gruesome injury as Real Madrid trainedNyota wa Real madrid bado hana makovu na kidonda vya majeruhi aliyopata hivi karibuni kama kwenye kioo anavoonekana kama Arnold Schwarzenegger almaarufu kama Terminator huku kwa siku ya jana alionekana mazoezini akifanya mazoezi. 

Mshambuliaji huyoo allilazimishwa kutoka katika mchezo wa Derportivo La Coruna siku ya Jumapili baada ya kukutana na beki wa timu hiyo na kuweza kumkata au kumpasua katika upande wake wa pembeni mwa jichoThe superstar clashed with an opposition defender and managed to cut open his left eye 

Ronaldo aliweza kuchukuliwa na Madaktari huku damu ikiwa inamiminikia kwenye jezi yake zikiwa zinatokea pembeni mwa jicho laje  mreno huyo alionekana hana furaha kabisa.

Mbali na kuumia kwake mshambuliaji huyo alionekana bado hana uwezo wa kupambana jicho zima la Ronaldo lilikuwa likimiminika damu na kukiwa na alama za mikwaluzo akiwa amewekwa bandage.

lakini Ronaldo alionekana ni mtu aliekata tamaa japo alikuwa akicheza, kwenye mitandao dunia nzima ilikuwa ikionesha jinsi nyota huyo jinsi alivokuwa kipindi alivopata majeruhi.Ronaldo needed attention after being floored on Sunday night while scoring a stooping header

Real Madrid were busy training as the prepared for their La Liga tie against Valencia Camera zilimnasa akiangalia jeraha lake ilo kupitia simu ya daktari huku akiwa anatambea akitoka uwanjani .Madri bado wanajipa matumaini kuelekea mchezo wao ujao.Los Blancos  bado wanapambana msimu huu na wameweza kushushwa na mahasimu wao nyuma kwa alama 19 huku Barcelona akiongoza ligi juu kwenye La Liga.Zinedine Zidane is facing pressure  as his Real side continue to struggle this season

Maisha ya Zinedine kwenye klabu bado hayapo sawa baada ya majanga waliopata Madrid nyuma ambao wameweza kutolewa kwenye kombe la Copa Del Rey na Leganes baada ya kuwachapa nyumbani kwao Bernabeu.Gareth Bale has returned to the squad and has stepped up as Ronaldo continues to struggle 

No comments:

Post a Comment

Pages