Majogoo hao walikuwa wanataka £5milioni ikiwa kama ada ya mkopo kwa mshambuliaji huyo wa Uingereza kwa malipo yaliokamilika kwa mshahara £150,000 kwa wiki.
- Mohamed SalahApp.23Goals18Roberto Firmino
23 10 Philippe Coutinho14 7 Sadio Mané16 6 Alex Oxlade-Chamberlain24 3 Daniel Sturridge9 2 Trent Alexander-Arnold8 1 Ragnar Klavan15 1 Jordan Henderson16 1 Dejan Lovren18
Lakini mbali na kulirudisha jina lake wababe hao wa Merseysiders walikuwa kwenye hali ya ugumu kwa mtu yeyote akiwa kwenye hatua kama hii.
Ukiachilia mbali kuwa ni klabu kubwa Ulaya waliweka utayari wa mshambuliaji mwenye miaka 28 anaweza akapatikana ukiachilia mbali na kusumbuliwa na majeruhi na kukosa michezo kadhaa lakini vilabu bado vinamtolea macho.
Mwishoni kwasasa Liverpool wanataka kumtoa kwa mkopo na wanataka ada ya mkopo £1.5m na Sturridge na sasa anajiandaa kwenda kujiunga na wababe wa wa Serie A Inter.
Mda huo huo Liver wanajianda kuweka mezani £90m kwajili ya kumnyakua Thomas Lemar.
No comments:
Post a Comment