'MTOTO WANGU NI MAARUFU KULIKO ATA WEWE' MOSE IYOBO - BZONE

'MTOTO WANGU NI MAARUFU KULIKO ATA WEWE' MOSE IYOBO

Share This
By 
Baada ya Tunda kumtukana Aunty Ezekiel, Mose Iyobo naye amenunua ugomvi wa mpenzi wake baada ya Tunda kumuita Ki BenTen,


Mose ameandika “Ujinga ni kubishana na mtu ambae kashafanya kila kitu ambacho wewe unafanya leo kama marudio unachotakiwa useme tu sina hiyo hela nitalipa siku flani na sio kuanza kuongea ushamba mke wangu awezi kutafuta kiki kwako ana mtoto maarufu kushinda wewe./kingine ben ten ni baba yako aliekuzaa akashindwa kukupeleka shule umeishia kufumuliwa free unakosa laki yakulipa pombe”
Baada ya maneno haya, Tunda aliongeza ujumbe huu >>“Afu na wewe Mose kweli unakaa chini unaandika upuuzi kama huo kama kweli ni wewe umeandika basi huna uso wa haya!….inawezekana pia Ant ndo umejiandikilisha🤣ivi wewe Moze huna haya NAKUULIZA SWALI MOJA TU KWANINI ULINIBLOCK KUPIGA KIPINDI ANT AMEANZA KUNIULIZA KUHUSU HELA KWANINI YANI UNIBLOCK KWANINI HUKUTAKA NIKUULIZE IMEKUAJE HELA HAIJAFIKA DUKANI SIKIENI NYIE NITOLEENI UJINGA WENU HAPA WATU WAZIMA MLIOKOSA BUSARA NA AKILI YANI KABISA MIMI NIGOMBANE NA WEWE KISA LAKI KWELI HATA KAMA NINGEKUA SINA HELA SIWEZI KOSA LAKI YA KULIPA KWAIYO MSITAFUTE STORY MMEMISI KUWEKWA FRONTPAGE KWENYE MAGAZETI MSINILETEE UKUMA WENU AFU NINA SWALI KWANINI VIBENTEN VINAKUAGA NA MKONO MREFU YANI KABISA MOZE UMEONA NI BORA WATU WAGOMBANE KULIKO KUSEMA HELA ULICHUKUA KWA MATUMIZI MENGINE SHOGA WEWE”

No comments:

Post a Comment

Pages