Manchester City watatakiwa kuvunja kibubu kwenye uhamisho huu wa dirisha dogo la usajili na kuvunja rekodi ndani ya masaa 48 ili kuweza kumsajili Ryad Mahrez.
Mchezaji huyo wa Leceister City na winga kutokea taifa la Algeria amewekwa orodha ya wachezaji waliopo kwenye uhamisho baada ya City kutoa ofa yao kwa winga huyo. City ambao wamemsajili Aymeric Laporte kutokea Athletic Bilbao kwa £57m siku ya Jumanne. Na sasa wameleta ofa ambayo imewashtua watu na kukataliwa.
City wanamtaka kwa mara ya pili Mahrez ambae hana mkataba wa miaka miwili na nusu. Winga mwenye miaka 26 analazimisha kuondoka na siku ya jana hakufanikiwa kufanya mazoezi akiwa analeta ushawishi wa kuondoka.
Mahrez anaweza akakataa kucheza dhidi ya Everton leo usiku ili kuweza kuradhimisha aondoke huku masaa yakiwa yanasogea mdogo mdogo.
Home
Unlabelled
LECEISTER CITY WANATAKA KARIBIA PAUNI 100M KUMUACHIA RIYAD MAHREZ KWENDA MANCHESTER CITY
LECEISTER CITY WANATAKA KARIBIA PAUNI 100M KUMUACHIA RIYAD MAHREZ KWENDA MANCHESTER CITY
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment