LECEISTER CITY WANATAKA KARIBIA PAUNI 100M KUMUACHIA RIYAD MAHREZ KWENDA MANCHESTER CITY - BZONE

LECEISTER CITY WANATAKA KARIBIA PAUNI 100M KUMUACHIA RIYAD MAHREZ KWENDA MANCHESTER CITY

Share This
Manchester City watatakiwa kuvunja kibubu kwenye uhamisho huu wa dirisha dogo la usajili na kuvunja rekodi ndani ya masaa 48 ili kuweza kumsajili Ryad Mahrez.Mahrez was a key figure in Leicester's title winning campaign and remains a key figure

Mchezaji huyo wa Leceister City na winga kutokea taifa la Algeria amewekwa orodha ya wachezaji waliopo kwenye uhamisho baada ya City kutoa ofa yao kwa winga huyo.The move comes just after City broke their transfer record to sign Aymeric Laporte City ambao wamemsajili Aymeric Laporte kutokea Athletic Bilbao kwa £57m siku ya Jumanne. Na sasa wameleta ofa ambayo imewashtua watu na kukataliwa.Manager Guardiola wants cover for the injured Leroy Sane who is out for several weeks

City wanamtaka kwa mara ya pili Mahrez ambae hana mkataba wa miaka miwili na nusu. Winga  mwenye miaka 26 analazimisha kuondoka na siku ya jana hakufanikiwa kufanya mazoezi akiwa analeta ushawishi wa kuondoka.Pep Guardiola has targeted the Algerian, who has also been courted by Chelsea and Arsenal

Mahrez anaweza akakataa kucheza dhidi ya Everton leo usiku ili kuweza kuradhimisha aondoke huku masaa yakiwa yanasogea mdogo mdogo.

No comments:

Post a Comment

Pages