KOCHA WA MANCHESTER UNITED JOSE MOURINHO AKUBALI KWANINI UHAMISHO WA ALEXIS SANCHEZ UNAVYOCHUKUA MDA KUMALIZIKA - BZONE

KOCHA WA MANCHESTER UNITED JOSE MOURINHO AKUBALI KWANINI UHAMISHO WA ALEXIS SANCHEZ UNAVYOCHUKUA MDA KUMALIZIKA

Share This
Jose Mourinho amekubali kwa hana mawazo yoyote juu ya kwanini Alexis Sanchez kutoka Arsenal kwenda ngome kongwe umekuwa ukiendelea na mazungumzo kufanyika lakini yeye kama yeye anafikilia mchezo wake wa leo na Burnley.Mkhitaryan's exit now gives Alexis Sanchez the green light to make the move to Old Traddord

Sanchez alionekana akiwa kwenye mazoezi ya Arsenal siku ya Ijumaa asubuhi awezi akaweka sahihi kwa united ndani ya mda huu kwasababu atakuwepo Turf Moor ambapo Henrikh Mkhitaryan ambae anategemewa kwenda upande wa pili.Henrikh Mkhitaryan arrived United's training ground as he prepares for his move the other way

Mourinho amethibitisha kuwa Mkhitaryan anaweza akaachwa tena kwenye kikosi cha United na kutomashtaka kwamba amerelax sana kuhusu hali ya Sanchez.The United boss confirmed the Armenian would be omitted from the match-day squad again

Kocha huyo wa United aliendelea kusisitiza amechukua hatua nyuma ya kunasqa sahihi ya mchezaji tokea Chile ambapo United wanangalia mbele ni jinsi gani ya kuitoa Manchester City kwenye kilele huku mahasimu wao hao wanakutana na Newcastle wakiwa nyumbani siku ya Jumamosi jioni.'There is no point in trying to hide or deny but not done at all,' he said of United's interest

'Hakuna kitu kipya.,' alisema Mourinho pale alipoulizwa swali juu ya Sanchez kujiunga na United.
'naona wazi kila mtu anajua tuko pale hasa hasa pale kocha wa  Arsenal anapoongea wazi wazi kama teyari kashafanya, hakuna point yoyote kwa kujaribu kuficha au kukataa lakini bado halijakamilika kabisa dili.'

No comments:

Post a Comment

Pages