MCHUKUE MKHI TU..! Man United wapo teyari kumuuza kwa £30m nje na kuweka chumba kwajili ya Ozil. - BZONE

MCHUKUE MKHI TU..! Man United wapo teyari kumuuza kwa £30m nje na kuweka chumba kwajili ya Ozil.

Share This
SPORTS: Jose Mourinho yupo teyarii kumtoa Henrikh Mkhitaryan msimu huu ili kupata upenyo wa kimsajili  Mesut Ozil kama mbadala wake.

Kocha huyo wa United yupo kwenye mawindo ya kiungo wa Arsenal Ozil. Ambae mkataba wake unakaribia kuiisha mwisho wa msimu huu, lakini ikumbukwe anatakiwa kupunguza kikosi chake kabla ajamleta mchezaji huyoo wa kijerumani akiwa huru.

Mourinho teyari ameshatangaza juu ya Mkhitaryan kwa kumtuhumu kwa “kupotea” kwenye michezo  tofauti na kukubali kuwa wiki hii hana nafasii kabisa Muarmenia huyoo hata sub akitokea benchi.

Hiyoo ndo unaweza ukawa mwisho wa mchezaji huyo alietokea Borussia Dortmund kwa £30m kwenye msimu 2016.
Wababe hao wa Old trafford watakuwa wanajiamini kuweza kurudisha ela ya hiyoo mbali na mchezaji huyo mwenye miaka 28 kupungua kiwangoo chake.

Player ranking — Manchester United

  • Romelu LukakuManchester United
    Romelu Lukaku
    App.
    17
    Goals
    9
    Anthony MartialManchester United
    Anthony Martial
    166
    Marcus RashfordManchester United
    Marcus Rashford
    174
    Paul PogbaManchester United
    Paul Pogba
    83
    Marouane FellainiManchester United
    Marouane Fellaini
    93
    Jesse LingardManchester United
    Jesse Lingard
    133
    Ashley YoungManchester United
    Ashley Young
    132
    Antonio ValenciaManchester United
    Antonio Valencia
    172
    Eric BaillyManchester United
    Eric Bailly
    81
    Chris SmallingManchester United
    Chris Smalling
    121

Arsenal in the Premier League

  • Alexandre LacazetteArsenal
    Alexandre Lacazette
    App.
    17
    Goals
    8
    Alexis SánchezArsenal
    Alexis Sánchez
    144
    Olivier GiroudArsenal
    Olivier Giroud
    144
    Danny WelbeckArsenal
    Danny Welbeck
    113
    Aaron RamseyArsenal
    Aaron Ramsey
    153
    Mesut ÖzilArsenal
    Mesut Özil
    142
    Nacho MonrealArsenal
    Nacho Monreal
    172
    Per MertesackerArsenal
    Per Mertesacker
    41
    Alex IwobiArsenal
    Alex Iwobi
    91
    Shkodran MustafiArsenal
    Shkodran Mustafi

Mkhitaryan amepambana sana kuleta matokeo yalio bora ndani ya united . Teyari hana Juan Mata, ni kitu ambacho kitaweza kuleta ugumu kwa Mourinho pale atakapoleta namba 10 nyingine.

Arsenal teyari washampaa ofa nyingine Ozil, akiwa kwenye kiwango kilicho bora na kulipwa £275,000 kwa wiki pale atakapo saini mkataba mpya kwa kumsawishi ili aweze kubaki ndani ya Emirates.
Mourinho ameshawahi kufanya nae kazi miaka mitatu ilio pita pale alipokuwepo Real Madrid pale alipo mpaga sifa kuwa yeye ni namba 10 mzuri dunia.
Inaweza ikawa pia ikampa na kumfanya kuridhika kama atakapo ipata saini yake kwa bure bila mauzo.

Barcelona pia wanamnyapia Ozil lakini inasemekana mahali sahihi na kwa urahisi anaweza akatua United na wachezaji wenzake wamekuwa wakimuongelea mchezaji huyo kuwa anaweza akajiunga na united msimu ujao.

Lulu hiyo ya Ujerumani, 29, pia anajua atakuwa na uwezo wa kutoa komandi ya kuwa huru na kujiunga na miamba yoyote anayoitaka kwenye dirisha dogo la Januari.



No comments:

Post a Comment

Pages