SPORTS: Fikilia chochote kile unachotaka juu ya Mourinho na Manchester united lakini washukuru kitu kimoja, isingekuwa wao tungekuwa tushalibeba.
Taa za christmas zishawaka lakini uwanja hunaonekana kuwa na wawili tuu. Liverpool wameshuka kwasababu hawawezi kuzuia, Chelsea na Tottenham kwasababu hawakuwekeza vizuri msimu huu kwa Arsenal wao tangia mwanzo sio washindanaji wa kombe siku zote.
Lakini kazi ipo hivi sasa united wanatakiwa wawapige City wakiwa Old Trafford ilikuweza kuweka mambo sawa na wanatakiwa kufanya hivo bila pogba.
United wataoata ufumbuzi leo jumatatu watakapo kata rufaa ya kadi nyekundu, huku mfaransa huyo akijitetea huku akisema akukusudia kumkanyaga beki uyo wa Arsenal.
Home
Unlabelled
AHSANTE MUNGU KUWEPO KWA JOSE MOURINHO... MANCHESTER CITY WANGEKUWA TEYARI WASHABEBA KOMBE LA LIGI ISINGEKUWA MANCHESTER UNITED.
AHSANTE MUNGU KUWEPO KWA JOSE MOURINHO... MANCHESTER CITY WANGEKUWA TEYARI WASHABEBA KOMBE LA LIGI ISINGEKUWA MANCHESTER UNITED.
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment