SPORTS: Watazamaji wa Manchester United ambao wamemuona Scott McTominay ambae amekuja kuonesha kiwango kikubwa, mwenye nguvu, lakini kwenye utaalamu wa soka na wataalamu wa soka wanasema.ni moja ya wachezaji ambao wanatokea kwenye academy wakiwa na kiwango kikubwa kwenye siku izi za karibuni.
Lakini makocha walio wengi wanaweza wakawaacha makinda hawa lakin si kwa Jose Mourinho.
Pamoja na Paul Pogba na Marouane Fellaini nje, alimuona kijana mwenye miaka 20 McTominay ambae ni kiraka kilichoaminika na kijana uyo akuweza kumuangusha boss wake zidi ya Benifica siku ya Jumanne akiwa na heshima ya mchezo kwenye chumba cha engine ya united.
Hakuna tatizo.. Futi 6 na inch 4 kiungo mkabaji aliweza kufuata vilivo maagizo ya kocha wake. Chagua maamuzi rahisi ukiwa na ⚽️ tembea pembeni, tembea nyuma kama utaweza ogopa kupoteza nafasi.
Kwa maneno mengine waliweza kuelewana vizuri na Nemanja Vidic ambapo Jesse Lingard, Anthony Martial na Juan Mata walicheza vyema na kijana uyo.
McTominay aliweza kupata ⚽️ mara 7 kwenye kipindi cha kwanza kuliko mchezaji mwengine yeyeto, uwezo wake wakuusoma mchezo na kuweza kuvunja muunganiko wa Benifica pale walipokuwa kwenye safari anakuwa katika nafasi sahihi na mda sahihi.
Ikumbukwe Darren Fletcher aliweza kuanza kushikilia nafasi yake akiwa pamoja na Ryan Giggs, David Beckham na Rio Ferdinand na waliishia kikiwa kikosi kikubwa na chenye mafanikio tele.
Mourinho amemsifia sana McTominay pale united ilipowapiga Swansea city 2-0 kwenye kombe la Carabao.
Home
Unlabelled
MC TOMINAY AMEONESHA KWANINI JOSE KAMPA SIFA BAADA YA MCHEZO WAKE WA KWANZA WA KLABU BINGWA ULAYA
MC TOMINAY AMEONESHA KWANINI JOSE KAMPA SIFA BAADA YA MCHEZO WAKE WA KWANZA WA KLABU BINGWA ULAYA
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment