HEYNCKES HAWAPA TAHADHARI CELTIC, HANALO SULUISHO LA MAJERUHI NDANI YA BAYERN..WAKIJIANDAA DHIDI YA KLABU BINGWA ULAYA - BZONE

HEYNCKES HAWAPA TAHADHARI CELTIC, HANALO SULUISHO LA MAJERUHI NDANI YA BAYERN..WAKIJIANDAA DHIDI YA KLABU BINGWA ULAYA

Share This
James Rodriguez (left) and Arturo Vidal step out onto the Parkhead pitch ahead of trainingSPORTS: Jupp Heynckes amewatahadharisha Celtic kwamba hanalo suluisho juu ya kwenye eneo la ushambuliaji lao linavosumbuliwa na majeruhi kuelekea  klabu bingwa ulaya usiku wa Jumanne.

Mshindi wa kombe la Dunia Mjerumani Thomas Muller alikuwa tayari nje kabla ya kutangazwa  kuwa Robert Lewandoski atosafiri na timu kuelekea Glasgow.French forward Kingsley Coman could be thrust into the attack for the German side

Arjen Robben is one of few fit attacking options available to Heynckes on Tuesday nightWinga wa kifaransa Kingsley Coeman atakuepo baada.ya kukosa mechi walioshinda 2-0 akiwa na tatizo la goti, anaweza akawa na Arjen Robben kwenye safu ya ushambuliahi yao. Mshambuliaji  Kwasi Okyere bado ajasajiliwa kwenye klabu bingwa ulaya Bayern imemuongeza kwenye kikosi chake kijana Manuel Wintzheimer huku Manuel Neur na Franky Ribery bado wapo nje wakisumbuliwa na majeruhi. Kabla ya kikosi chake hakijafnya mazoezi katika dimba la Celtic, Heynckes bado aliweka maamuzi yake chini ya ulinzi lakini bado hana mbinu.Jupp Heynckes oversees Bayern Munich's training session on Monday evening

Alisema ' Muller na Lewandowski wameumia lakini atukutalajia ila tutapata utatuzi, kunaweza kukawa na uwezekano wa kuchezesha 4-4-2 ila tutafanya huo uamuzi kesho'
Sebastian Rudy, Joshua Kimmich, Mats Hummels and Rodriguez (L-R) jog on the pitch
'Kila timu inapitia magumu hasa pale inapopata majeruhi timu nyingi kwenye klabu bingwa ulaya inalijua na kupitia hilii lakini sisi tutapata utatuzi'

'Arturo Vidal ni mwepesi na ni mzuri mbele pale nina njia tofauti kwa kesho. Sijawahi kufanya kazi na Wintzheimer, simjui vizuri mimi vizuri kama nilivosema mwanzo tunaweza tukawa na utatuz.

No comments:

Post a Comment

Pages