SPORTS: Jupp Heynckes amewatahadharisha Celtic kwamba hanalo suluisho juu ya kwenye eneo la ushambuliaji lao linavosumbuliwa na majeruhi kuelekea klabu bingwa ulaya usiku wa Jumanne.
Mshindi wa kombe la Dunia Mjerumani Thomas Muller alikuwa tayari nje kabla ya kutangazwa kuwa Robert Lewandoski atosafiri na timu kuelekea Glasgow.
Winga wa kifaransa Kingsley Coeman atakuepo baada.ya kukosa mechi walioshinda 2-0 akiwa na tatizo la goti, anaweza akawa na Arjen Robben kwenye safu ya ushambuliahi yao. Mshambuliaji Kwasi Okyere bado ajasajiliwa kwenye klabu bingwa ulaya Bayern imemuongeza kwenye kikosi chake kijana Manuel Wintzheimer huku Manuel Neur na Franky Ribery bado wapo nje wakisumbuliwa na majeruhi. Kabla ya kikosi chake hakijafnya mazoezi katika dimba la Celtic, Heynckes bado aliweka maamuzi yake chini ya ulinzi lakini bado hana mbinu.
Alisema ' Muller na Lewandowski wameumia lakini atukutalajia ila tutapata utatuzi, kunaweza kukawa na uwezekano wa kuchezesha 4-4-2 ila tutafanya huo uamuzi kesho'
'Kila timu inapitia magumu hasa pale inapopata majeruhi timu nyingi kwenye klabu bingwa ulaya inalijua na kupitia hilii lakini sisi tutapata utatuzi'
'Arturo Vidal ni mwepesi na ni mzuri mbele pale nina njia tofauti kwa kesho. Sijawahi kufanya kazi na Wintzheimer, simjui vizuri mimi vizuri kama nilivosema mwanzo tunaweza tukawa na utatuz.
Home
Unlabelled
HEYNCKES HAWAPA TAHADHARI CELTIC, HANALO SULUISHO LA MAJERUHI NDANI YA BAYERN..WAKIJIANDAA DHIDI YA KLABU BINGWA ULAYA
HEYNCKES HAWAPA TAHADHARI CELTIC, HANALO SULUISHO LA MAJERUHI NDANI YA BAYERN..WAKIJIANDAA DHIDI YA KLABU BINGWA ULAYA
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment