- Jina lake kamili linajulikana kama GRAZZY GARCIA

- Alizaliwa mwaka wa 2000 nakuanza kujiita Lil Pump akiwa na miaka 17 tu.

- Alinza fanikiwa akiwa kwenye Sound cloud kwa nyimbo kusikilizwa na watu milioni

- Rafiki yake ambae ameshirikiana nae kwenye baadhi ya nyimbo akijulikana kama Smokepurp. Wanapendelea zaidi kucheza mchezo wa ESKETTIT mbali na mziki

- Album yake iliweza kushika chat namba mbili kwenye chat za Billboard
sasa nazani unamjaua LIL PUMP unataka nani mwemgine tukulete ?
Home
Unlabelled
VITU VITANO UNAVOTAKIWA KUVIJUA TOKA KWA LIL PUMP
VITU VITANO UNAVOTAKIWA KUVIJUA TOKA KWA LIL PUMP
Share This
Share This
About Bwherever
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment