WAMERUDI TENA KWENYE MSIMU AU? WAPIGANA WAKITOKEA NYUMA YA SPURS KWA 2-0 NA KUPELEKEA KUPATA USHINDI WA 2-3 NA KUWATOA WAKIWA WEMBLEY. - BZONE

WAMERUDI TENA KWENYE MSIMU AU? WAPIGANA WAKITOKEA NYUMA YA SPURS KWA 2-0 NA KUPELEKEA KUPATA USHINDI WA 2-3 NA KUWATOA WAKIWA WEMBLEY.

Share This
Angelo Ogbonna netted the winner for West Ham as they came from 2-0 down to record a stunning 3-2 win over TottenhamSPORTS: Huku Angelo Ogbonna akishinda goli la ushindi, kwa upana aliweza kusimamisha hisia za watu na kusahau kama ilikuwa ni kombe la Carabao, lakini mara nyingi siku zote goli la ushindi ni muhimu kuliko kitu chochote linapokuwa linasoma kwenye ubao.The France forward finished off a sweeping Tottenham counter attack to put them in front with only six minutes on the clock

Na nani hanajua kwamba hii ni muhimu na kuweza kumbadilisha slaven Bilic? katika mda wa mapumziko, alionekana kuwa na uso wa kupokea kichapo na kuinama kanama kwake kama kawaida. Kocha wa West Ham alionekana akiwa hivi mara nyingi katika kipindi kifupi lakini jana katika dimba la wembley alionekana akiwa tofauti.England midfielder Dele Ali then doubled the home side's lead shortly before half time with a deflected shot from 17 yards

Timu yake ilimsaliti pale walipo pokea kichapo cha 3-0 wakiwa nyumba kutoka kwa Brighton katika ligi kuu uingereza Ijumaa iliopita lakini kwa hapa wembley walimsaliti katika kipindi cha kwanza.West Ham attacking midfielder Fernandes tries to chase down Tottenham forward Son  at Wembley on Wednesday evening

Kipindi cha dakika 45 za mwanzo West ham walionekana ni watu au timu isiyokuwa na maana, timu isiyokuwa na maamuzi sahihi na timu isiyo kuwa na mbinu za kimchezo.The two bosses, (L-R) Mauricio Pochettino and Slaven Bilic, dish out instructions to their players during the first half

wachezaji wa Bilic walionesha udhaifu wao mkubwa sana katika kipindi cha kwanza na kufanikisha kupigwa magoli mawili, Bilic alikuwa anakaribia kutimuliwa, ndio ilikuwa lazima atokee, hii ni baada ya jina lake kuwa linatajwa sana baada ya majina kama  Frank de Boer, Craig Shakespeare na Ronald Koeman kufukuzwa .West Ham and England forward Andy Carroll fires a shot at goal as Ben Davies tries to make the block for the home side

Lakini mchezo huu ulibaadilisha muonekano kabisa wa mpira upo vipi. kulikuwa hakuna sababu ya msingi matokeo kama haya kutokea, Bilic hakufanya mabadiliko yoyote  ya kwake binafsi na kulikuwa hakuna kituchochote cha kiufundi au formation ilio fanya kikosi kuonekana kimebadilika.

Lakini mchezo ukabadilika ilikuwa ni kujitolea kwa wachezaji na kupambana na hii ndio kazi ya mchezo ulivyo

No comments:

Post a Comment

Pages