SPORTS: Kama huamini basi hii inaweza ikabadilisha mawazo yako. Katika filimbi ya mwisho mashabiki wa Asernal walikua wakipiga kelele Eddie, Eddie, Eddie.
Kwasasa utakuwa unajiuliza Eddie ndo nani? Eddie Nketiah ambae ndio tumaini lenye miaka 18 ambae ameanza kutimiza uwajibu wake.
Na kama atoweza kutimiza usiku wa jana alikua shujaa wa wanamitutu katika dimba la Emirates, ni mchezo wake wa pili, kijana huyo mwenye miujiza aliweza kusawazisha na mpira wake wa kwanza mguuni akiingia dakika ya 85, Nketiah ambae ni kijana wa Asernal mshindaji ambae amezaliwa mwaka baada ya Arene wenger kuichukua Asernal 1996 aliweza kuweka alama ya ushindi kwenye mda wa nyongeza.
Anajaribu kuonesha kwamba yeye anauwezo, na tukaona kama yeye hanauwezo hasa pale timu yako inapokuitaji anakufikishia. Hebu tusimuongeleee ubora wake kwa sasa ngoja tuone.
No comments:
Post a Comment